Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,717 Reaction score 13,176 Mar 29, 2011 #21 distazo said: Kwa nyongeza, kuna bosi wangu mmarekani kabisa amekolea nyumba ndogo ya kiswahili ni balaa hapa ofisini hatumuelewi hata utendaji wake wa kazi umepungua.Tunamuombea tu asije akadhurika na hayo madawa kiafya. Click to expand... Huyo Kashakwama teyari na huyo dada ye2 anajivutia midollar tu
distazo said: Kwa nyongeza, kuna bosi wangu mmarekani kabisa amekolea nyumba ndogo ya kiswahili ni balaa hapa ofisini hatumuelewi hata utendaji wake wa kazi umepungua.Tunamuombea tu asije akadhurika na hayo madawa kiafya. Click to expand... Huyo Kashakwama teyari na huyo dada ye2 anajivutia midollar tu