ndio hivo wapendwa
kuna watu wanapenda kunua dawa bila hata kupima au kushauriwa na daktari
ingekuwa vema kila mtu akawa na mmea wa alovera ktk bustani au hata ktk kibaraza chake
ukjisikia hovyo bora ukachemsha ukachanganya na asali kidogo ukanywa kama sio tatizo kubwa la kumhitaji daktari