jamani hii dawa ya kunjwa mkojo nimeikubali mbali yakuongelewa hapa jamvini nimewauliza madr kadhaa wasema nikweli kabisa leo nimejaribu asubui nikakinga kwenye glasi ile harufu tuu acha nikaribu kiduchu mdomoni kwanza jamani usisikie jamani ladha yake cjawai kuona chumvi si chumvi yani kichefu chefu nilipojaribu mara ya pili kunywa yani niliishia kutapika nyongo na zoezi likaishia hapo hapo unless nipate mwongozo mwingine pls mzizimkavu ktk hili
jamani hii dawa ya kunjwa mkojo nimeikubali mbali yakuongelewa hapa jamvini nimewauliza madr kadhaa wasema nikweli kabisa leo nimejaribu asubui nikakinga kwenye glasi ile harufu tuu acha nikaribu kiduchu mdomoni kwanza jamani usisikie jamani ladha yake cjawai kuona chumvi si chumvi yani kichefu chefu nilipojaribu mara ya pili kunywa yani niliishia kutapika nyongo na zoezi likaishia hapo hapo unless nipate mwongozo mwingine pls mzizimkavu ktk hili
jamani hii dawa ya kunjwa mkojo nimeikubali mbali yakuongelewa hapa jamvini nimewauliza madr kadhaa wasema nikweli kabisa leo nimejaribu asubui nikakinga kwenye glasi ile harufu tuu acha nikaribu kiduchu mdomoni kwanza jamani usisikie jamani ladha yake cjawai kuona chumvi si chumvi yani kichefu chefu nilipojaribu mara ya pili kunywa yani niliishia kutapika nyongo na zoezi likaishia hapo hapo unless nipate mwongozo mwingine pls mzizimkavu ktk hili
Mkuu Babu lao it is easy and try this Urine. Fanya majaribio utaona faida yake mkojo wako unasaidia pia kwa wale wenye matatizo ya maumivu ya Bandama,maumivu ya figo, Maradhi ya moyo,Maradhi ya Ugonjwa wa kisukari na Maradhi mengi tu mkojo wako mwenyewe unakusaidia kukutibu.Kama kuna thread ilonifurahisha ni hii... nimejaribu kujenga picha mkuu kwanza unasogeza karibu namdomo, unakunja sura kwa harufu lakini unakaza roho unasip kidogo unameza mara ya kwanza unarudia mara ya pili na unaanza kutapika ha ha haaaa
Umenifurahisha Mkuu kwanza kabisa unapotaka kunywa mkojo wako itabidi uukinge kwenye glasi ya maji ya kunywa kisha uwe mgonjwa sio tu kwa kujaribu kunywa pasipo kuwa wewe ni mgonjwa wa Maradhi ya sugu ya Vidonda vya tumbo. Na pili unapokunywa huo mkojo wako
ufunge pua yako ili usiweze kuusikia harufu yake tatu kunywa huku umefumba maccho utaweza kunywa bila ya wasiwasi wasi ingawa kazi yake ni kubwa lakini unapo umwa inakuwa Rahisi sana Mkuu drphone. mimi binafsi yangu niliweza kuuweka mkojo ndani ya mdomo wangu
na kusukutuwa kama maji sikumeza hii ilikuwa siku nilipokuwa na maumivu ya jino ilinisaidia kwa muda kuondowa hayo maumivu ya jino.Mkojo wako binafsi una faida nyingi kutibu maradhi kwa binadamu inapendeza kama una Maradhi ambayo unatakiwa unywe mkojo wako
ili upone itabidi unywe huo mkojo wako Asubuhi kabla ya kula kitu ndio itakuwa umefanya vizuri kujitibu kwa maradhi kwa kutumia mkojo wako mwenyewe.
Drink your own urine to cure your illness Drink your own urine to cure your illness
How to Use Urine to Cure Fungus How to Use Urine to Cure Fungus | eHow.com
Drinking own urine, can cure sickness??? decease?!
Question: What are the sickness, or decease
Answers:
What are the sickness, or decease Yes , it is correct as per Ayurveda an ancient Medicine
it cures joint pains,heart deceases,nerves weakness and other ailments, but there are some methods to be followed for using the urine as medicines. It requires the technical
assistance from Ayurveda or naturopathy doctors I propose that you form a hypothesis, experiment (with yourself as the subject, of course), and get back to
us with the results. Bad idea dont know - lets ask howard hughes That's a really bad idea. Urine is human WASTE - that means it's all the stuff that your body
REJECTED and wanted to get RID of. Don't put it back in! I have never heard that before I have heard that if you have athletes foot that if you pee on it that will help because of the Ammonia , or that if you have no water you can drink it. But I
wouldn't ... but that is all i have heard... I would ask your Doctor before you go and drink your Pee....LMFAO I know for a fact. that when you have a cut of any sort. put a drop of urine on the cut it cures it very quickly.. I heard it's better if you drink
somebody else's urine. Your drinking the dirty stuff there.... doesn't urine have ammonia in it? The Giants were the urine and the Pats were the deceased. So,
therefore, yes. Urine is a "waste" product from the body. I believe you may have meant to say "disease"? Personally, I would recommend an alternative method to cure your sickness or ailment, depending on what it is.
You might find that "consuming urine" may cause you other problems~like vomitting?
However, I must admit that I recently heard from an old-timer that pouring urine in your ear might cure an earache. I have not and won't do this unless I am stranded on a desert island by myself with an excruciating earache. I don't recommend it
either. As stated already, you may end up with other problems from putting a waste product back into your body~like a smelly ear. (You might want to get a clean bill of health on any urine that is reintroduced into the body and have it cleared of bacterial infections and things like yeast. I do know that it won't be fun to have a "yeast infection" in your mouth and throat.)
The only noninvasive use that I know of for urine is a treatment for a jellyfish sting. Ammonia is an ingredient in urine and based on firsthand experience, I know that in Italy it is a common practice to pour urine on the external skin of a jellyfish sting to
neutralize it. (This is the only method I do recommend because it is a faster, more convenient method to prevent paralysis than traveling to a store to buy some ammonia. Besides, you would look rather silly carrying an ammonia bottle with you
on the beach.) Maybe it will help with your grammar and spelling. Drinking own urine, can cure sickness??? decease? - AnswerHealth
Aisee nimecheka ile mbaya LOL! nilikuwa napiga picha kama vile nakuona ukijaribu kuunywa huo mkojo na jinsi unavyokushinda. Unaumwa nini kwani Mkuu hadi unywe mkojo? Pia huo mkojo ni mkojo wako au wa mtu mwingine?
Kama kuna thread ilonifurahisha ni hii... nimejaribu kujenga picha mkuu kwanza unasogeza karibu namdomo, unakunja sura kwa harufu lakini unakaza roho unasip kidogo unameza mara ya kwanza unarudia mara ya pili na unaanza kutapika ha ha haaaa
yatima nn tena ujaona mtu akimnywa mkojo wake mwenyewe?
Yatima anashangaa kuona Mtu kunywa mkojo wake kwa ajili ya Dawa? Ni vitu vya kawaida tu ukiwa ni mgonjwa unaweza kunywa hata ukiambiwa mkojo wa Mbwa ni
dawa utakunywa tu ili mradi upone. nakutakia mafanikio mema Mkuu drphone tumia hiyo Dawa kwa muda wa siku 10 kunywa kabla ya kula kitu asubuhi ukimaliza
kutumia huo muda nenda kapime huo ugonjwa wako utakuta hivyo vidonda vimekauka kabisa.