Dawa hizi zitaweza kuwa na athari kwa ujauzito wake?

Petro Oswald

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2015
Posts
2,382
Reaction score
1,881
Nimefanya nae mapenzi akiwa ovulation lakini baada ya siku chache alinza kuugua...akaenda kupima akaambiwa homa aliyonayo ni kwasababu ya ulcers...hvo kapewa dawa zinaitwa anti acid, amoxylin n.k

Nauliza kuna uwezekano gan wa madawa hayo kuleta athar zozote kwake endapo itakua ana ujauzito?? Na athari zitakuwa zipi?
 
Hakuna madhara mkuu.... Amoxy ni ant biotics Na ni Dawa baridi so haina tabu hataaaa.... Na iyo ant acid it can be magnesium nayo haina madhara so kua happy tu...
 
Hakuna madhara mkuu.... Amoxy ni ant biotics Na ni Dawa baridi so haina tabu hataaaa.... Na iyo ant acid it can be magnesium nayo haina madhara so kua happy tu...
Thanks mkuu...ni dawa gan ni hatari kwa ujauzito???
 
Metronidazole tab( fraigil) Alu (mseto)alben za ninyoo miezi mitatu ya kwanza ni shida....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…