Dawa ipi nzuri kwa tatizo la mafua makali kwa vifaranga?

Dawa ipi nzuri kwa tatizo la mafua makali kwa vifaranga?

mchagger

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
864
Reaction score
1,064
Naomba msaada kwa wale wafugaj wa hawa kuku tanbro na kroiler

Mwezi wa pili nilianza ufugaji huu kwa kununua kroiler 40 kwa tanbro 30 vifaranga wa wiki sasa changamoto ni mafua makali vifaranga wanaisha naomba msaada nitumie dawa ipi itayomaliza hili tatizo.
 
Naomba msaada kwa wale wafugaj wa hawa kuku tanbro na kroiler

Mwezi wa pili nilianza ufugaji huu kwa kununua kroiler 40 kwa tanbro 30 vifaranga wa wiki sasa changamoto ni mafua makali vifaranga wanaisha naomba msaada nitumie dawa ipi itayomaliza hili tatizo.
Mimi huwa natumia Tylodox na huwa inatibu kabisa mafua hata yawe makali vipi...
.
Jaribu hiyo.
 
Back
Top Bottom