wapitiane tuu hata kwa shida mana c wote wanapatikana famasi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]GENTAMYCINE na Asprin ni mbingu na ardhi, hawafanani kwa lolote wala chochote. Asprin is a legendary
Asante mkuu
Dawa gani mjamzito anaweza kutumia for Yeast infection?
Usipo pona hayo maradhi yako kwa dawa za Hospitali. Nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.Asante mkuu
Dawa gani mjamzito anaweza kutumia for Yeast infection?
Pole dear,ni ajabu kuna madaktari huandikia wajawazito hz dawaShukrani sana mkuu niliwahi kuwa mhanga wa kupoteza Ujauzito wa miezi saba baada ya kunywa Doxycline
Leo nmepata ufahamu zaidi
Ahsante mamy, ni dokta aliniandikia kabisaaaaa sijui alidhani nina kitambi sijui aliwaza nnPole dear,ni ajabu kuna madaktari huandikia wajawazito hz dawa
Ni muhimu sana kumueleza dokta hali yako yoyote ya kiafya,magonjwa,ujauzito,dawa unazotumia kabla hajakupa dawa nyingine....hakika dawa ni sumuAhsante mamy, ni dokta aliniandikia kabisaaaaa sijui alidhani nina kitambi sijui aliwaza nn
Ni kweli mamyNi muhimu sana kumueleza dokta hali yako yoyote ya kiafya,magonjwa,ujauzito,dawa unazotumia kabla hajakupa dawa nyingine....hakika dawa ni sumu
Ahsante mamy, ni dokta aliniandikia kabisaaaaa sijui alidhani nina kitambi sijui aliwaza nn
Ahsante mamy, ni dokta aliniandikia kabisaaaaa sijui alidhani nina kitambi sijui aliwaza nn