Pole kwa hayo Maumivu Tafuta mafuta ya karafuu kiasi Uchanganya na mafuta ya Zaituni uwe unajichuwa hiyo sehemu kwa siku mara 3 asubuhi mchana an usiku kwa muda wa siku 7 utapona. Na pia endelea na hiyo dawa ya kizungu mpaka utakapo maliza.Habarini Za Jioni,
Nina Maumivu Ya Taya Kutokana Na Kugeuka Kwa Ghafla Karibu Na Maungio Ya Shingo Nashindwa Kutafuna Chakula Kama Nyama, Hata Tonge Namega Kidogo Kama Mtoto Coz Mdomo Haufunguki Hadi Mwisho Nikikosea Nikatafuna Kwanguvu Taya Inashtuka Na Kuuma Nimetumia Dawa Ya Indomethacine Capsules Still Tatizo Linaendelea, Msaada Tafadhari! Tatizo La Pili La Muda Mrefu Ni Kuchelewa Kupata Usingizi Na Hata Nikiupata Nikilala Sana Ni 4hrs Tu!
Cc MziziMkavu