Dawa nzuri ya U.t.i ni ipi

Chronixx1

Member
Joined
Jul 23, 2017
Posts
57
Reaction score
81
Nasumbuliwa na kiuno kinakua kinakaza ata nikikaa nikija kuamka nikianza kutmbea naskia maumivu ! nikaenda kupima nika ambiwa nina uti ya 25 ndo first time kuugua uti nimepewa dawa ila naona akuna afadhali ya kupona kiuno kinakaza vile vile ! msaada wenu jaman mwenye kujua dawa nzur anisaidie
 
Pole.. Azuka iko mkide ipo maduka ya dawa au famasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…