Habarini wakuu,
Kwa wale wanaopenda wanyama kama paka, naomba msaada kuna paka hapa nyumbani kala kitu kimemzuru, basi kila wakati hujiramba mwili wake non stop, na pia na manyoa yake hutotoka hivi je kuna dawa yoyote mnayoijua nikimpa itamfaaa? Namuona anapata tabu sana.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wanaopenda wanyama kama paka, naomba msaada kuna paka hapa nyumbani kala kitu kimemzuru, basi kila wakati hujiramba mwili wake non stop, na pia na manyoa yake hutotoka hivi je kuna dawa yoyote mnayoijua nikimpa itamfaaa? Namuona anapata tabu sana.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app