Dawa ya aleji ya paka

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
Habarini wakuu,

Kwa wale wanaopenda wanyama kama paka, naomba msaada kuna paka hapa nyumbani kala kitu kimemzuru, basi kila wakati hujiramba mwili wake non stop, na pia na manyoa yake hutotoka hivi je kuna dawa yoyote mnayoijua nikimpa itamfaaa? Namuona anapata tabu sana.

Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe kamtelekeze tu barabarani

Yess bishoo hasWaaaa
 
Ni kawaida ya paka kujilamba mara kwa mara, lakini kama non stop hapo siwezi kusema kitu. Dawa kubwa ya Paka ni kumpa chakula kilichopikwa hasa hivi vyakula vya proteins (jamii ya vitoweleo) kama samaki au nyama japo kidogo, atanawiri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka kwamba Paka ni mnyama alae nyama. Vyakula ambavyo anatakiwa kula ni nyama, maziwa, mayai na sio ugali na maharagwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…