Dawa ya Amoeba

zamboni

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
364
Reaction score
180
Habari!
Nna Mdogo wangu wa kiume ambae amekuwa akisumbuliwa na ameoba muda mrefu sasa! Amekuwa akienda hospital na kuandikiwa dawa ambazo zimekuwa zikimsaidia Kwa muda mfupi then tatizo linajirudia tena. Naomba kuuliza kwenu dawa gani nikimpatia itamponesha moja Kwa moja?
 
Mpeleke mdogo wako kwa kairuki. ....huo ugonjwa sio wa kuufanyia maskhara, mi nilitundikiwa drip 13 plus madawa kibao sababu ya kuufanyia mchezo..
 
Mpeleke mdogo wako kwa kairuki. ....huo ugonjwa sio wa kuufanyia maskhara, mi nilitundikiwa drip 13 plus madawa kibao sababu ya kuufanyia mchezo..

Shukrani Kwa ushauri, ntafanya hivyo mkuu!
 
Amoeba sio madudu uliyoandika come to point. Muhulize mzizi mkavu


swissme:
 
Swali kidogo: Una uhakika ni amoeba au dogo anaumwa ugonjwa mwingine? Hakikisha kwanza ni kweli anao hao minyooo au pengine unahitaji uchunguzi wa afya ya dogo kwa kina kuokoa maisha yake.
 
Swali kidogo: Una uhakika ni amoeba au dogo anaumwa ugonjwa mwingine? Hakikisha kwanza ni kweli anao hao minyooo au pengine unahitaji uchunguzi wa afya ya dogo kwa kina kuokoa maisha yake.

Nna uhakika kua ni ameoba! Amepima hospital mbili tofauti na kote vipimo vinaonesha kua ni ameoba, na hata dalili alizonazo ni za ameoba! Ila dawa ambazo amekua akipewa zimeshindwa kumsaidia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…