Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

Ahsante mkuu nazihitaji waeza nipatia namba yako?maana kama ni.agent sioni kama itakua shida ukiweka namba yako hapa nkakutafuta

ningeshauri pia utafte msada wa maombi kwa watumish wa Mungu mana wenye case kama yako una kuta ni spiritual husband jitahd kufanya maombi itakusaidia
 
kula kungu manga zinasaidia!una mapungufu ya hormones zozote nenda hospitali kacheki!!
Sio tu ale kungumanga atwangiwe na mtu mzima kisha atiliwe kwenye uji tuone kama hakupata hizo Ashki za kumwaga.................


Kungu Manga
 

Attachments

  • kungu manga.jpg
    8.1 KB · Views: 719
Dawa ya Kuamsha ashki ya kike na ya kiume. Dawa ya

kuamsha tamaa ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke na mwanamme.

(1) Juisi ya tangawizi nusu kijiko pamoja na yai nusu iliochemshwa na Asali Safi Mbichi Ya Nyuki. Tumia kila siku kwa muda wa mwezi mmoja. (hii Dawa unaweza kutumia pia Mwanamme.)

(2)Mwanamke akitaka apate hamu ya tendo la ndoa wakati huo huo tafuta ZANJARI NA

NASHAADIRI
kisha astanjii (ajioshe Papuchi yake) hapohapo atapata hamu yakufanya tendo la ndoa kwa mumewe.

Kuzipata hizi Dawa Nenda katika maduka ya dawa za Kisunna kaulize utapata

Kariakoo tumia kisha uje utupe feedback . Chanzo Mzizimkavu Hauchimbwi Dawa.

 
mi nimefurahi ulivyorespod kwa michango hapa jukwaa.
hii ndio jf usipopona basi tena!
ila nakuomba ukipata dawa na sisi utushirikishe tuwape wake zetu.
ila mke wangu jamani amejaa stress tu
 
Sio tu ale kungumanga atwangiwe na mtu mzima kisha atiliwe kwenye uji tuone kama hakupata hizo Ashki za kumwaga.................


Kungu Manga


MziziMkavu ahsante sana jamani ntazitafuta as soon as posible......Be blessed
 
Last edited by a moderator:
mi nimefurahi ulivyorespod kwa michango hapa jukwaa.
hii ndio jf usipopona basi tena!
ila nakuomba ukipata dawa na sisi utushirikishe tuwape wake zetu.
ila mke wangu jamani amejaa stress tu


Usijali nkishafanikiwa tu ntarud jukwaani kutoa mrejesho
 
Kunywa castle Lite 2 au 3 kabla ya tendo..
 



Be blessed always I will find them as soon as posible and i will let the results.......shukran saaana jamani
 
Asante wanaJF na mleta mada, na mie nimepata kitu hapa! ngoja nikaongozee ifike kwenye maximum level!!!
 
Ashki ya mwanamke ni kitu kigumu lakini ni rahisi pia.mwanamke akiwa katika msongo wa mawazo ya aina yoyote ile huwa anakosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa lakin akiwa huru kutoka katika msongo wa mawazo basi huwa na ashiki ya hali ya juu ambapo mwanaume inabid awe amejipanga kisawasawa.jaribu hiyo utaona matokeo yake.mafanikio mema
 
Hivi, it means hautamani dushelele ama hauli feel?

Hii ni adhabu aisee.
 
Napita kimyakimya

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 


Ahsante kwa mawazo yako mkuu
 
Ukipona ningependa kujua zinapokushika unaonekanaje... au nipe nafasi nikupime kama kweli umepona kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…