majalas Son
Member
- Dec 31, 2013
- 36
- 10
Inawezekana hukawa na Pepo jini Mahaba,tena anakufanya usiwe na hamu ya kufanya mapenzi na huyo bwana yako!alafu inawezekana Pia una ugonjwa wa UTI wa kudumu pia inasababisha kutosikia hamu ya kufanya mapenzi....alafu jitahidi unapokuwa unafanya mapenzi na Mmeo concetration yako hiwepo tena yanye Mahaba mazito hili kujipagawisha!Kinyume na hapo hauna king'amuzi na km huna kamwe aski hutazisikia kwa watu,au hukiwa wafanya mapenzi mwambie hawe anasugua ------ au hakutie kidole cha ------ ashki hitakuja tu!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Kunywa castle Lite 2 au 3 kabla ya tendo..
Antenna aka king'amuzi kipo?
Unafanye nae mapenzi kwa wiki mara ngapi? Dawa ya kuondosha mtu stress hii hapa Ale ndiz kwa wingi stress itaondoka yenyewe uwe unafanya nae mapenzi kila wiki mara 3 .mi nimefurahi ulivyorespod kwa michango hapa jukwaa.
hii ndio jf usipopona basi tena!
ila nakuomba ukipata dawa na sisi utushirikishe tuwape wake zetu.
ila mke wangu jamani amejaa stress tu
jitahidi kila siku ukitaka kukutana na huyo mumeo kunywa amarura au zanzi sio dawa lakini itakuwa inakusaidia sana, kunywa taratibu baada ya nusu saa au lisaa limoja utaona matokeo. jaribu harafu uje utoe feedback hapa au niPM
Kilevi nomaa!! utatemtegemeaje mungu huku unapiga ulabu.?? Mie nashauri kwenye vyakula tu jamii ya nafaka, ndizi bukobai, chai ya tangawizi mdalasini na asali, ale chakula cha nafaka zisizokobolewa jamii ya ngano brown ama ulezi, mbogamboga bamia nyanya chungu n.k na kingine atulize akili yake tu taratibu vyote vitamfika na atafurahia mapenzi na mume wake.