Brown ad
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 345
- 204
Ndugu zangu naombeni msaada kwa anayejua dawa za asili kwa ajili ya homoni au mahala inapouzwa maana nna tatizo la siku zangu kutokua na mpandilio mzuri na hospitali wameniambia nna tatizo la homoni na dawa wanazonipa ni zile za uzazi wa mpango na nna sikia zina madhara na nnaogopa nisije nikashindwa kuzaa!