Dawa ya asili ya kuondoa michirizi kwenye ngozi

Daltonae

Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
26
Reaction score
5
Nina dawa ya asili ya kuondoa michirizi ya ngozi inayotokana na mimba,unene na kutumia vipodozi vikali.Inaondoa kwa mda wa mwezi mmoja.Kwa mawasiliano zaidi pigs 0715 942 744.Niko Dar
 
Mwanamke akiwa na hiyo michirizi nampenda mpaka basi,nashangaa wengine wanaichukia.
 
Mm napenda wenye michirizi nyuma ya mapaja Kwa chini hasa pale nyuma ya Goti yaani katikati ya mguu daaa rahaaa

Sasa mtoa mada utatuharibia badili uganga wako ufanye hata kazi ya kuchuna vitoweo mahotelini
 
Nina dawa ya asili ya kuondoa michirizi ya ngozi inayotokana na mimba,unene na kutumia vipodozi vikali.Inaondoa kwa mda wa mwezi mmoja.Kwa mawasiliano zaidi pigs 0715 942 744.Niko Dar

Hao hapo penye nyekundu ndiyo wateja wako .
Hao wengine wenye michirizi ya asili tuachie sisi.
Nasisitiza TUACHIE SISI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…