Dawa ya babu ikiwa sumu?

Najijua

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
1,040
Reaction score
182
wadau naomba kuuliza ikiwa dawa ya babu wa Loliondo ni sumu na ina madhara Tanzania itakuwa na viongozi wangapi salama?idadi ya raia itabaki million 40 na zaidi kama ilivyo sasa?
 
Nafasi nyingi zitakuwa wazi na hii itatoe fursa kwa wengine kujipunguzia kiwango cha umaskini
 
nadhani kiwango cha umaskini kitaongezeka badala ya kupungua fikiria mara mbili mkuu
 
Mara ya kwanza nilishtuka sana.... kuja kuisoma hii post vizuri nikashtukia kuwa ni imaginations!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…