Kwan malimao na ndimu zimefanyiwa utafiti na nani? We kama unaona chanjo hazijafanyiwa utafiti basi achana nazo tu ila usifosi watu wafate ushauri wako wakati wewe mwenyewe hakuna unachoelewa.
Na CCMKwamba ni Corona ya kuachana nayo?
"Vipi kuhusu minyoo, ukimwi, TB, kaswende, pangusa, malaria, kifaduro, nk?"