Dawa ya Covid-19 kutoka Madagascar ni pigo kwa Mabeberu

Dawa ya Covid-19 kutoka Madagascar ni pigo kwa Mabeberu

manchoso

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
1,605
Reaction score
2,055
slide_18.jpg

0122817_artemisia-annua-prospects-applications-and-therapeutic-uses-2017.jpeg
images.jpg


Mti huu sio mgeni kwa tiba kwa baadhi ya nchi za Africa, siku za nyuma pia ulikuwa ukitumika kutibu malaria na maradhi mengine madogo madogo, Madascar wameendelea kugawa bure na kuhamasisha wananchi kutumia dawa hiyo

Sio mti kama mti unaotibu covid 19 bali wenyewe wanachanganya na baadhi ya mitishamba yao ya kaisili na wameipa dawa hii jina la COVID ORGANICS ambayo taarifa kutoka kwa Rais wa Madascar Andry Rajoelina anasema utengenezaji wake uimegawanyika katika sehemu mbili: kuna ambayo inatibu covid 19 na ambayo inazuia covid 19,

hre.jpg



Mnamo tarehe 1/5/2020 serikali ya Equatorial Guinea ilituma wawakilishi kwenda kuchukua dawa hiyo na Madagascar imefungua milango kwa nchi nyingine za Africa kwenda kuchukua na kutumia dawa hiyo kwa wananchi,
equ.jpeg

Japokuwa kuna upinzani kutoka nchi za magharibi juu ya usalama wa dawa hii, na hii bila shaka imetokana na kuwa watu wa magharibi wanaamini Africa sio sehemu ya kupata tiba bali ni sehemu ya vita maradhi na umasikini {huu ndo ukweli}

Ikiwa basi dawa hii itafanikiwa itakuwa ni maendeleo makubwa kwa bara la Africa na bila shaka itatupa kujiamini waafrica kwamba tunaweza kupambana na majanga kwa kutumia tiba zetu za asili {ambazo kwa hakika ndo tiiba sahihi kwa maradhi yeyote yanaomsumbua mwanadamu ] na litaionesha dunia kwamba Africa inaweza ikawa suluhisho la matatizo makubwa kama hili la maradhi ya corona yanayosumbua dunia,


madasx.png



Jamii forum
Be the first to know
hre.jpg
equ.jpeg
slide_18.jpg
madasx.png
images (2).jpeg
0122817_artemisia-annua-prospects-applications-and-therapeutic-uses-2017.jpeg
images.jpg
 
Wakati Rais wa Madagascar anajitamba nchi yake kugundua dawa ya kutibu na kukinga Corona, Rais huyo huyo ametangaza Lockdown kuwepo nchini mwake.

Sasa akili ya kuambiwa changanya na za kwako.
 
Wakati Rais wa Madagascar anajitamba nchi yake kugundua dawa ya kutibu na kukinga Corona, Rais huyo huyo ametangaza Lockdown kuwepo nchini mwake.

Sasa akili ya kuambiwa changanya na za kwako.
mie nachojua kuna partial lockdown mda mrefu tu

sijajua habari hio umeipata wapi ungetuwekea source na sisi tukasome ingekuwa vizuri
 
Back
Top Bottom