phojamhone
Member
- May 18, 2014
- 26
- 4
Mimi ninayo Dawa yangu ya kuchelewa kufikia kileleni ni dawa ya mafuta unajipakaa kwenye uume wako na kisha unaanza kufanya mapenzi na haina madhara kwa binadamu mimi mwenyewe nimesha wahi kuitumia ukihitaji ninauza shillingi laki Laki 1 na nusu. Ukitaka nitumie Email baruwa ya pepe email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com Au waweza kunitembelea kwenye blog yangu kwa kubonyeza hapa.Mzizi MkavuWanaJF ambao mmeshawahi kutumia vidonge hivyo, naomba kujua kutoka kwenu kwa maslahi ya wengi kama ni kweli unaweza kuchelewa kwa kutumia hizo.
Pili, haina madhara kwa afya?
Nilisikia tu kutoka kwa vijana waliokuwa wanaizungumzia kijiweni. Pia nimeileta hapa baada ya kuona post nyingi zinazohusiana na matatizo ya nguvu za kiume hivyo kama kuna wazoefu wanaweza kushauri iwe sehemu ya suluhisho kama kweli zina uwezo huo.
Mkuu kwanini utumie Dawa halafu baadae inakuja kukudhuru (Side effect)? tumia Dawa zisizo kuwa na madhara ni bora kuliko kutumia dawa zenye madhara halafu ukija kuacha uume wako unakuwa ni wenye kusinyaa hausimami kama zamani tuwe waangalifu na madawa ya kizungu.Kiukweli dawa hiyo inafanya kazi vyema sana, hasa jogoo kuwa standby muda mrefu, inafanya kazi baada ya dakika 15 toka kumeza, shida yake ni kuwa ukiizoea, mishipa ya chombo inakuwa tegemezi sana, na matokeo yake, inaweza kukufanya usiendeshe baiskeli bila kutegemea msaada wa erecto kitu ambacho ni hatari.
Katka michezo yangu ya ugenini nilitumia mara tatu hivi ili kujenga heshima, lakini kilichotokea baada ya kipindi fulani nilihisi hamasa kupotea na kudevelop utegemezi!
Nikarudi kwenye ushauri wa asili nikajenga stamina after that, ikarejea kwenye hali ya kawaida. Hivyo sikushauri ufanye mazoea ya kuiumia ila mara moja kwa miezi sita si mbaya.
Kiukweli dawa hiyo inafanya kazi vyema sana, hasa jogoo kuwa standby muda mrefu, inafanya kazi baada ya dakika 15 toka kumeza, shida yake ni kuwa ukiizoea, mishipa ya chombo inakuwa tegemezi sana, na matokeo yake, inaweza kukufanya usiendeshe baiskeli bila kutegemea msaada wa erecto kitu ambacho ni hatari.
Katka michezo yangu ya ugenini nilitumia mara tatu hivi ili kujenga heshima, lakini kilichotokea baada ya kipindi fulani nilihisi hamasa kupotea na kudevelop utegemezi!
Nikarudi kwenye ushauri wa asili nikajenga stamina after that, ikarejea kwenye hali ya kawaida. Hivyo sikushauri ufanye mazoea ya kuiumia ila mara moja kwa miezi sita si mbaya.
Utakuja kufa juu ya kifua cha mwanamke hizo dawa si nzuri,fanya mazoezi kula karanga mbichi na pweza!
mills?