Dawa ya hasira

Hakuna kitu kama hasira bila sababu. Sababu ipo mkuu, ila huijui. Na vitu vitakavyo kusaidia kujua sababu ni hivyo hapo in bold. ukisha jua hasira inapanda wakati gani itakua rahisi kupunguza exposure na vitu hivyo, au kujifunza namna gani unaweza kuziwia hasira kupanda ikiwa unakutana na mazingira hayo.
Kuna councelor mzuri sana humu JF, anaweza kukusaidia free of charge. Ukiwa interested nitakupa ID yake via PM.
 
mkuu jongoo linapanda mtungi kama kawaida
ila semaga nikitambo kimepita sija DO na sinaga mpango wa wanawake naona kama wananitibua brain yangu.

hii inaweza kuwa sababu kuu ya wewe kukasirika mara kwa mara. most likely kuna jambo linakusumbua akili ndo maana umewaweka pending warembo, hence stress..
 
Water therapy ni muhimu, ngoja tumsubiri mzizi mkavu anaweza kuja na tiba kamili.
 
Kwa kawaida hasira husababushwa na kuwa na mawazo mengi. mkuu tiba ya hasira, hakikisha unakula ndizi za kutosha kila siku, ndizi ina kemiko iitwayo serotonin ambayo inafanya regulation ya mood na kumfanya mtu kuwa na furaha, kujisikia vizuri, pia na kupata usingizi wakutosha,na kuondoa hasira. PIA MKUU UNAWEZA KWENDA PHARMACY ULIZIA DAWA INAYOITWA PROZAC mg 20 mara moja kwa siku mpaka dose itakapoisha
 
Nahisi utakuwa umetendwa tu,possibly na demu... Hapa ni kumtafuta mtaalamu wa psychology haraka kabla hujaharibikiwa zaidi.
 
unaweza ngumi au ndo boya sasa angalia wengine wapiga ngumi za chembe au unamadeni nini ndo maana hasira haziishi
Conquest-ukiwa na hasira jiharishie then walk around the street
 
Stress hizo za ukosefu wa kuDu, tafuta dem utoe wadudu hao wamejaa wanaleta tension zisizokua na msingi.
 
labda una matatizo ya kifedha
Labda mambo yako hayajaka a vile unavyotaka
Na labda wanawake imekuwa ndio tatizo lako kubwa linalokuchanganya ubongo
 
jina lako LEGE vp kwan unatumiaga bangi?
 
hao unaopenda kugombana nao ni wanawake au wanaume?
Wewe una pschological problem.ni maradhi ambayo yanasababishwa na kitu kibaya chochote ambayo kinastick mind yako.ushauri wangu ni huu:nenda kwa daktari wa wagonjwa wa akili na umueleze tatizo lako halafu yeye atkupa tiba sahihi.
 
Ndugu yangu hilo linaweza kuwa ni pepo, unajua shetani yupo kazini anakutia hasira kuna siku utakasirika utafanya kitu kibaya kitakuingiza kwenye matatizo makubwa. Kwa imani yako fanya maombi sana muombe Mungu akuondolee hasira na ulikemee hilo pepo la hasira na uanze kufanya mazoezi ya kuwa mtu wa kawaida kujichanganya na watu uone kama tiba imefanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…