Dawa ya jino

k-star

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
541
Reaction score
388
Habari zawakati huu ndugu popote ulipo, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Kwa yeyote anayefahamu dawa yakutuliza maumivu ya jino yani lisiume kabisa bila kuling'oa naomba anisaidie nitumie nini maana nimeng'oa mpaka nahisi naweza maliza na kuwa kibogoyo.

Please msaada/mchango wako ni muhimu sana kwangu mimi pamoja na wanajukwaa wengne karibuni kwa mchango.
 
DAWA YAKUTIBU MENO NA FIZI

1) Tangawizi ya unga unachanganya pamoja na chumvi kisha unapiga mswaki. Hii inaondosha maumivu ya kuumwa na meno na kuvimba na ufizi na pia kutoa meno harufu mbovu.



2) Maji ya moto na chumvi uwe unasukutuwa kwa mara 3 au 4 kwa siku. Hii inaondosha kuvimba na ufizi na maumivu makali ya meno.

3) Kutafuna karafuu pia inasaidia kuondosha maumivu na uvimbe na harufu.

4)
weka unga wa karafuu kwenye sehemu iliyotoboka litatulia

 

TOUCH and GO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…