Dawa ya KEROID ni nini???

Dawa ya KEROID ni nini???

love more than100

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
2,061
Reaction score
715
Hellow members&drs! Poleni na majukumu ya kifamilia,binafs,serikali,chama nk.
Am single lady of 30's najua wengine watashangaa but ndio hivyo.. by the way sicho nachotaka kukiombea msaada laah asha!
Wapendwa shida yangu ni kuvimba popote ntakapoumia mimi ni shiiidaa lazima paumuke kama ni kujigonga maumivu yale na kidonda hakijatokeeza baasi patavimba na kuwa peusi na maumivu juu, nilitoga masikio ukubwani tuu when i was 16's yrs basi kwa bahati nzr wkt natogwa ni nilipelekwa sonara na nikanunuliwa hereni za gold nimeendaaa kwenye 2008 nikashawishika kutoga tundu la pili ili nivae 2prs ya heren baasi 2010 nikaanza kuvimba naenda hosp wanakata yaani mpk dk hii masikio nimevimba na ni ya kukata tena huo uvimbee na hereni nimeacha kuvaa tangu 2012 ila nakata na hereni sivai zozote bado tuu yanavimba. Nilishakwenda hosp kama k.c.m.c na nikafanyiwa mpk mionzi lkn waapi, kuna dk m1 wa kihindi hapa Ar anaitwa Gullet naye Jan 3 mwaka huu akanikata akisema anatumia kisu ya moto ila waapi saa hizi nundu lishaota kubwa kuliko alilokata. In short bado naomba msaada niambiwe kama kuna dawa au matibabu gani na wapi nifanyiwe kuondoa. Am serious pls
 
Yah I know how disturbing and disfiguring keloids can be. ..pole dada. ...excision and injection of steroids might help but not guaranteed. .... smt u have to accept and live the way u are....
 
uliharib ulipokikata..hicho kinapigwa sindano..nenda pale tmj umuulize dokta kishengele wa magonjwa ya ngozi ndo tabibu wa hayo makitu
 
Back
Top Bottom