Mtandaoni Senior Member Joined Jul 22, 2013 Posts 132 Reaction score 64 Feb 28, 2015 #1 Jamani wapendwa jf DOCTOR naombeni kwa hili nitumie dawa gani ili nijinusuru kwani kinauma hasa upande palipo na moyo ikiamua kuuma napata shida sana kwani hata kuvuta pumzi huwa shida, niko kwa kusubir ushauri.
Jamani wapendwa jf DOCTOR naombeni kwa hili nitumie dawa gani ili nijinusuru kwani kinauma hasa upande palipo na moyo ikiamua kuuma napata shida sana kwani hata kuvuta pumzi huwa shida, niko kwa kusubir ushauri.
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Feb 28, 2015 #2 kama unamaanisha hearbun/kiungulia basi tumia omeprazole.