J Jogoo10 Senior Member Joined Jul 22, 2014 Posts 100 Reaction score 11 Sep 25, 2014 #1 Natanguliza heshima kwenu, kwa anaejua dawa ya kienyeji ya kukinga mdondo. Mimi nafuga kuku wa kienyeji, kwa anae jua msaada tafadhali.
Natanguliza heshima kwenu, kwa anaejua dawa ya kienyeji ya kukinga mdondo. Mimi nafuga kuku wa kienyeji, kwa anae jua msaada tafadhali.
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,198 Sep 25, 2014 #2 Jogoo10 said: Natanguliza heshima kwenu, kwa anaejua dawa ya kienyeji ya kukinga mdondo. Mimi nafuga kuku wa kienyeji, kwa anae jua msaada tafadhali. Click to expand... Kisu tu
Jogoo10 said: Natanguliza heshima kwenu, kwa anaejua dawa ya kienyeji ya kukinga mdondo. Mimi nafuga kuku wa kienyeji, kwa anae jua msaada tafadhali. Click to expand... Kisu tu
mob JF-Expert Member Joined Dec 4, 2009 Posts 2,262 Reaction score 1,356 Sep 25, 2014 #3 mkuu usinikumbushe hii kitu.nilimaliza kuku banda nzima hapa dar more than 80+ kuku.kimsingi unatakiwa kuku uwape dawa mapema (wakiwa vifaranga ndani ya miezi mitatu ya mwanzo)na kama hukufanya hivyo mapema usitegemee miujiza zaidi ya kunoa kisu.
mkuu usinikumbushe hii kitu.nilimaliza kuku banda nzima hapa dar more than 80+ kuku.kimsingi unatakiwa kuku uwape dawa mapema (wakiwa vifaranga ndani ya miezi mitatu ya mwanzo)na kama hukufanya hivyo mapema usitegemee miujiza zaidi ya kunoa kisu.
Marire JF-Expert Member Joined May 1, 2012 Posts 12,333 Reaction score 5,292 Sep 25, 2014 #4 mob kama dawa ni feki pia kisu lazima Last edited by a moderator: Jan 4, 2016