Dawa ya kienyeji ya kuyeyusha mafuta mwilini

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,012
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa dawa ya asili (ya kienyeji isiyo na madhara) inayoweza kuyeyusha Mafuta mwilini,
Najua huku wapo wajuzi wa mambo ya afya na tiba a silk.
Wasalaam.
 
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa dawa ya asili (ya kienyeji isiyo na madhara) inayoweza kuyeyusha Mafuta mwilini,
Najua huku wapo wajuzi wa mambo ya afya na tiba a silk.
Wasalaam.
kunywa kila siku juis ya limao kw amaji ya moto asubuhi kabla ya kul kitu mafuta tumboni yataondoka zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…