Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa dawa ya asili (ya kienyeji isiyo na madhara) inayoweza kuyeyusha Mafuta mwilini,
Najua huku wapo wajuzi wa mambo ya afya na tiba a silk.
Wasalaam.
Habari wakuu,
Naomba kufahamishwa dawa ya asili (ya kienyeji isiyo na madhara) inayoweza kuyeyusha Mafuta mwilini,
Najua huku wapo wajuzi wa mambo ya afya na tiba a silk.
Wasalaam.