Dawa ya kisukari kutoka INDIA

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,111
Reaction score
2,781
Hello Wana GT NATUMAINI hamjambo.
Naombeni kama Kuna mtu Yuko India anakuja TANZANIA naomba nimpatie number ya simu ya mtu ambaye anauza dawa ya mitishamba inayoshusha kisuKari na Ukiitumia Kwa week 30 unapona kabisa .Ni ya kisukari type 2 .
Msaada wanandugu wapendwa.
 
Kwa nini usiiweke hapa ili na sisi wengine tuijue? Au ni Dili kama kawaida yetu wabongo? Acha roho mbaya mkuu!
Sio deal mkuu .huwezi kuweka number za simu hapa watu wengine hawapendi boss .samahani kama nimekukwaza mkuu ,
 
Msimfuate DM. Kisukari type 2 kina masharti yake ukiyafuata huhitaji dawa. Fuatilia maelekezo
 
Sio deal mkuu .huwezi kuweka number za simu hapa watu wengine hawapendi boss .samahani kama nimekukwaza mkuu ,
Hujanikwaza mkuu,thank God sina tatizo la kisukari,na sijamaanisha uweke namba zako hapa,ungetuwekea tu hata jina la dawa ingetosha!
 
Kisukari ni hatari sana,ila tiba yake rahisi sana
 
Ugonjwa wa kisukari unastage zake
Mfano stege ya awali inaweza kutibika kwa dawa maalumu yaani Natural artificial
NB: hapa siwezi kusema dawa kabisa maana kunawaganga njaa ila dawa naijua inatibu vizuri tuu
Kiufupi nimekuwa mtafiti wa dawa asilia zaidi ya miaka sasa zoezi hili nilikuwa nawashirikisha wazee,nimeweza kufahamu dawa ambazo zinaweza kutibu maradhi hatari
Mfano: dawa za baadhi ya kansa especially
Kansa ya koo,kansa ya vidonda kwa jina jingine wanasema vidonda visivyo pona,Kansa ya ubongo au wanaita Kansa ya ubongo,kansa ya uzazi yote haya nilikuwa siamini kama kweli kansa inatibika kwa mitishamba ila nimeprove Mimi mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…