Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
dawa imepatikana...!
Piga squats kama hamsini kila asubuhi unapoamka na jioni saa 12.
Au kama unaishi karibu na miinuko,pandisha kilima kama mita 200 hivi asubuhi kabla ya chai.
Ukifanya haya kwa mwezi mmoja utaona matokeo mazuri.
Madhara;zingatia masharti kwani ukizidisha dose waweza kuota vigimbi.
Kwa ushauri zaidi ni PM au soma makala zinazohusu 'law of use and disuse'
Piga uwa wewe utakuwa unatoka kwa kina nani hii alafu jiji unalivamia kwa kiwembe
Nenda kwa wachina kwao hiyo kazi nyepesi sana.usiumize kichwa wala nini na hata ukitaka bkr wao ndio mwisho wa utata
piga gym mamaa, lakini kama huna, huna tu............lakini nimekupestia hii:
The best way to get thicker legs is to lift wieghts. You can't just eat alot and pray the fat goes to your legs. If you are skinny all over you may want to do weight training on all your body so you don't look like a freak with big legs. If you are big with skinny legs weight training is the best way to get bigger legs and take some weight off of the rest of your body
Being thick and healthy comes from genes, and good eatin. I'm not saying get fat. But you cant just up, and work youself up to those girls. Expecially being An African American female the majority of us have natural curves,big legs, and big booties; we are blessed with them. So don't try to live up to the women you see on tv, most of them our born that way. The more exercise you do, the more fat you burn, which can make you decrese your curves. (try running, leg curls, leg extentions, and stair master exercises, they shape your bottom) So if you come from a family, and your mom, or her mom, or other women in the family really don't have any curves, or are thick like that. Than most likely, you will not be. So remember its Genetics, and weight, the proportions of your body, and how you are shaped. Not everyone can obtain the same amount of body muscle, so you might only gain a little, or you might gain a lot.
Majukumu haya kwepeki wacha nimsaidie....´Wewe vp utaki msaada?Jamani si na wewe ni mchina umsaidie (yaani Chum Chang ndugu yake na Mr. Lee unakwepa majukumu)
piga gym mamaa, lakini kama huna, huna tu............lakini nimekupestia hii:
The best way to get thicker legs is to lift wieghts. You can't just eat alot and pray the fat goes to your legs. If you are skinny all over you may want to do weight training on all your body so you don't look like a freak with big legs. If you are big with skinny legs weight training is the best way to get bigger legs and take some weight off of the rest of your body
Being thick and healthy comes from genes, and good eatin. I'm not saying get fat. But you cant just up, and work youself up to those girls. Expecially being An African American female the majority of us have natural curves,big legs, and big booties; we are blessed with them. So don't try to live up to the women you see on tv, most of them our born that way. The more exercise you do, the more fat you burn, which can make you decrese your curves. (try running, leg curls, leg extentions, and stair master exercises, they shape your bottom) So if you come from a family, and your mom, or her mom, or other women in the family really don't have any curves, or are thick like that. Than most likely, you will not be. So remember its Genetics, and weight, the proportions of your body, and how you are shaped. Not everyone can obtain the same amount of body muscle, so you might only gain a little, or you might gain a lot.
Alas! Kiingredha chenyewe kigumu, mimi maimuna!
msaada wakuu mwenye dawa au anaefaham ambapo dawa inauzwa ya kufanya miguu iwe ya bia kwani nashindwa kuvaa kimini cha msingi isiwe na madhara kwa badae
Mimi naomba dawa niwe mrefu angalau nifikie 1.7m!
mmmmhhhh
mmmmhhhh
msaada wakuu mwenye dawa au anaefaham ambapo dawa inauzwa ya kufanya miguu iwe ya bia kwani nashindwa kuvaa kimini cha msingi isiwe na madhara kwa badae