wakuu kwa wle wafugaji wa broilers wazoef kuna mtu alinambia kuna dawa ya kuchanganya katika chakula cha kuku kinachowakuza kwa wiki 3 wanakua tayar kwa kuuzwa, kwa anayeifaham hiyo dawa naomba msaada wa jina,gharama na mahali inopopatikana mimi nipo kigamboni