Dawa ya kunuka mdomo na kuyafanya meno yawe masafi na imara

Dawa ya kunuka mdomo na kuyafanya meno yawe masafi na imara

Jenseny

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
1,743
Reaction score
1,738
Asalaaam alyeikum! Bwana yesu asifiwe!

Imekua ni kawaida kwa ndugu marafiki na wapenzi kushindwa kuwaaambia marafiki ndugu au wapenz wao juu ya ugonjwa huu wa kunuka mdomo unaosababishwa na mabaki ya chakula mdomoni! Kutokupiga nswaki kwa muda mrefu maji yenye magadi na mengineyo mengi

Mahitaji

Limao moja tangawizi kipande kimoja chumvi nusu kijiko au kijiko cha chai dawa ya mswaki

Jinsi ya kutengeneza dawa

Saga tangawizi kwa kutumia crator au kikwagulio saga kijiko kimoja tu cha chakula

kamua limao moja changanya na tangawizi hadi ibadilike rangi mchanganyiko utakua wa rangi ya njano

Weka chumvi kijiko cha chai au nusu kijiko cha chakula

Kisha weka dawa ya mswaki inayotosha huo mchanganyiko

Changanya tena hadi dawa chumvi na limao viwe pamoja

Piga mswaki kwa kutumia mchanganyiko huo

Vumilia kuwashwa piga asubuhi na jioni
Kadiria dawa / mchanganyiko huo hadi uumalize kwa mara 2

Jiangalie kwenye kioo utaona tofauti meno yatakua meupe sana na kama ulikua na harufu mbaya mdomoni itakata

Inashauriwa kutumia dawa hii angalau mara 2 kwa mwezi ili kufukuza kabisa wadudu wanaotoboa meno na kuleta harufu mbaya mdomoni

Sharing is caring
 
Asalaaam alyeikum! Bwana yesu asifiwe!
Imekua ni kawaida kwa ndugu marafiki na wapenzi kushindwa kuwaaambia marafiki ndugu au wapenz wao juu ya ugonjwa huu wa kunuka mdomo unaosababishwa na mabaki ya chakula mdomoni! Kutokupiga nswaki kwa muda mrefu maji yenye magadi na mengineyo mengi

Mahitaji

Limao moja tangawizi kipande kimoja chumvi nusu kijiko au kijiko cha chai dawa ya mswaki

Jinsi ya kutengeneza dawa

Saga tangawizi kwa kutumia crator au kikwagulio saga kijiko kimoja tu cha chakula

kamua limao moja changanya na tangawizi hadi ibadilike rangi mchanganyiko utakua wa rangi ya njano

Weka chumvi kijiko cha chai au nusu kijiko cha chakula

Kisha weka dawa ya mswaki inayotosha huo mchanganyiko

Changanya tena hadi dawa chumvi na limao viwe pamoja

Piga mswaki kwa kutumia mchanganyiko huo.

Vumilia kuwashwa piga asubuhi na jioni
Kadiria dawa / mchanganyiko huo hadi uumalize kwa mara 2

Jiangalie kwenye kioo utaona tofauti meno yatakua meupe sana na kama ulikua na harufu mbaya mdomoni itakata

Inashauriwa kutumia dawa hii angalau mara 2 kwa mwezi ili kufukuza kabisa wadudu wanaotoboa meno na kuleta harufu mbaya mdomoni

Sharing is caring

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii inasaidia kusafisha mpaka meno ya kiarusha mkuu...? Au...?
 
Depal bora unisaidie kumcheka huyu jamaa mie nimeshindwa kumuelewa aisee. Khaaaaa...?

🙄🤔😲
 
Back
Top Bottom