Dawa ya kuondoa mabakamabaka meusi

Moyibi

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,054
Reaction score
701
nahitaji jina la dawa... Ya dukani ili niweze kununua..
 
ngoja nitafute lile box la hiyo dawa nitakujulisha muda si mrefu
 
Jaribu 'fade out" nilimnunulia mke wangu ilimsaidia sana.inapatikana nairobi duka la dawa ndani ya "sarit centre"
 
Tafuta epiblank ni kiboko kwa mabaka
 
Dr. Mzizimkavu

Nina ujauzito wa miezi mitatu, ninatapika mara kwa mara, je kunavitu au matunda ninayoweza kula ili hali hii ipungue??
nilienda hospital nikapewa dawa funali NOSIC zilinisaidia kidogo lakini hali ikawa palepala nakunywa na naendelea kutapika.
 

dad hiyo hali itaisha kwa kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo huwa inakua inasumbua sana ila baada ya miezi mitatu itaanza kupungua taratibu na itaisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…