Area 254 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2013 Posts 324 Reaction score 65 Jun 6, 2013 #21 HUNIJUI said: Kweli kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, na wale kenge tukiwachunguza vizuri kuna mijusi Click to expand... na wale mijusi ikiichunguza vizuri kuna vinyonga!
HUNIJUI said: Kweli kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, na wale kenge tukiwachunguza vizuri kuna mijusi Click to expand... na wale mijusi ikiichunguza vizuri kuna vinyonga!
akohi JF-Expert Member Joined Jul 13, 2012 Posts 787 Reaction score 526 Jun 7, 2013 #22 Bondemania said: Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious ishu wakuu Click to expand... Achana na chemicals we kula Matunda one hour before meal utashangaa Tango, papai sio kila tunda linakupa appetite alfredmkohiatgmaildotcom
Bondemania said: Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious ishu wakuu Click to expand... Achana na chemicals we kula Matunda one hour before meal utashangaa Tango, papai sio kila tunda linakupa appetite alfredmkohiatgmaildotcom