Dawa ya kuongeza makalio as zawadi nimeombwa.

Fikra za watu wote haziwezi zikafanana. Hivyo ndiyo maanda kila mmoja ana uhuru wa kusema atakacho yeye!! Aombaye hupewa. Kama huna cha kumpa mpotezee!!
 
Kha! Sasa hao wanaume wanayataka hayo matiko ya nini?
 
je makalio yake ni magumu au laini? Kama una uwezo basi mnunulie kwa masharti lazima akuonjeshe baada ya kumnunulia
 
mi natafuta mwanamke mzuri na asiwe na makalio,pesa za kula ninazo na gari atapata.mpatie namba zangu
 
mi natafuta mwanamke mzuri na asiwe na makalio,pesa za kula ninazo na gari atapata.mpatie namba zangu
Acwe na makalio sss atakua anakaaje?mkuu sema mwenye shepu ya kihindi!...teh teh
 
Haha haaaa akavae ya mchina kwani wengi wanavaa wanapendeza madawa yatamuua
 
But Claudia, of Hackney, East London, suffered chest pains after the injections and died in hospital. US cops are investigating.
She wanted the jabs because she thought having a bigger bottom would make her FAMOUS, heartbroken pals say. Claudia was desperate to transform her image with cosmetic surgery so she could appear in music videos. Friends revealed her confidence had dipped after she was dropped from a previous promo because her "booty" was too small. But the £1,000 procedure, carried out in a budget Philadelphia hotel, ended in disaster when Claudia suffered agonising chest pains and died.
Mwambie haya Madawa yanaua au km anataka kingine aseme maana inaoneka na Mleta mada hujaoa
Sisi wengine ---- kubwa kwetu ni kinyaaaaaa tunataka waliopigwa pasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…