Weka pichaSugua uo upara wako na kitunguu maji
Dawa ya kipara ni KIPARA, nyoa para mzee baba
uliyanunulia wapi?mimi natumia haya mafuta mazuri sana yaitwa
T444Z nilinunua zaidi ya alfu hamsOKni na saiv hata mwezi bado lakini naona mabadiliko kwa mbaali japo sio kivile ila naamini baada ya miezi mitatu kitaeleweka ..
yapo vizuri
niliyaaagizia toka dar yakanifata nilipo.uliyanunulia wapi?
IPO moja hapa katika maduka ya Dubai inauzwa 290Drh hadi 370DrhKama kuna mtu anaijua basi naomba anifahamishe
Kuweni serious jamani si kila thread inahitaji jokes its not fair when someone is serious with the matter then mwingine unaleta masiharaEti nilisikia mahali wanasema kipara bila pesa ni kovu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
rooneyKama kuna mtu anaijua basi naomba anifahamishe
Kitunguu maji unakifanyaje, fafanua plzKitunguu maji