wewe usikute ni wale wanasumbawanga na waganga w RAMLI FAKE
na madawa ya magumash.....ni za kienyeji?
au za kizungu
ama mayai ya kanga? kiruuuu
hili gonjwa ni serious mambo ya kuwapa watu makorokocho km babu wa loliondo akauwa watu muache elezea ni dawa ya aina gani au ni virutubisho gan unatoa
uko wapi na je vimethibitishwa na tpdf.??????????.heeeeee