Dawa ya kupungiza makali ya kansa

ugido

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2014
Posts
421
Reaction score
104
Habari wana jamii forum naomba kuuliza mtu mwenye kunua dawa ya kienyeji inayopunguza makali ya cancer . nina mgonjwa wa cancer ya kizazi ameshapata chemo kama mara 2 yakwanza ilikuwa mwaka juzi pamoja na mionzi , mwakajana chemal lkn hazioneshi kumsaidia kwanza ndo anazidi kuzidiwa maana alikuwa stage 2 wakati anaanza hayo madawa lkn hadi sasa ni stage 4, sasa naomba mwenyekujua dawa ya kienyeji inayoweza kumsaidia maana anamaumivu makali mno ambayo hata hayasikii dawa ya maumivu.asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana ndugu kwa kuuguza in sha allah allah (t.w) ampe tahfif mgonjwa apate kupona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku menya punje za kitunguu saumu 6 katakata vidogividogo acha kwa DKK 5 ameze na asali au maji,mtafutie matunda ya stafeli ikiwezekana ale kila siku, Majani ya mti Wa mstafeli unaweza kuchemsha au chemsha maji moto weka kwenye chupa chukua Majani kama 6 ya mti wq mstafeli yaoshe yadumbukize kwenye chupa funika,asubuhi anaweza kunywa kikombe anaweza kuweka na asali kidogo au sukari kidogo any we angalau Mara 3 au 4 Kwa siku, Mimi sio doc ila nilipataga sehemu kama vipi google uone faida za vitu nilivyokuambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta vidonge au injection ya fentanyl au morphine zinaweza wa pupoza maumivu kabisa ambayo ni excruciating pain kama kansa n.k
Kama huko Dar nenda ocean road wanauza hii mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia juis ya majani y mstafeli inatibu kansa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…