dawa ya kupunguza tumbo

Pole Sana..kula mboga za majani matunda na vyakula visivyokobolewa protein na maji mengi..
Litapungua.
 
dawa ipo, nitajie urefu wako na uzito wako kwanza

mkuu bila shaka ww utakuwa ni mtaalam,naomba unisaidie wp naweza kupata muscle building supplements(protein powder), nafanya sana mazoezi ila mwili hauji kwa rate ninayotaka mm,niko obsessed na msuli.
 
Mtafute mange kimambi anasapply mikqnda spesho ya kufungia matumbo ili yarudi
 
mkuu bila shaka ww utakuwa ni mtaalam,naomba unisaidie wp naweza kupata muscle building supplements(protein powder), nafanya sana mazoezi ila mwili hauji kwa rate ninayotaka mm,niko obsessed na msuli.

nitakuulizia sehemu halafu nitakujibu
 
mkuu bila shaka ww utakuwa ni mtaalam,naomba unisaidie wp naweza kupata muscle building supplements(protein powder), nafanya sana mazoezi ila mwili hauji kwa rate ninayotaka mm,niko obsessed na msuli.

Mkuu hizo muscle supplements zina madhara hasi mengi mwilini, sasa nimekuwekea kitabu kina kama kurasa 750 hivi kitakuelekeza namna ya kula ili kutengeneza hiyo misuli bila kuhitaji hizo supplements, ki-download na ukisome taratibu. Kama utaendelea kuhitaji hizo supplements hata baada ya kusoma kitabu hiki utanijulisha kwa njia ya PM.
 

Attachments


Mkuu Nashukuru kwa kitabu ulichonipatia,penye utata nitakujulisha kwa pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…