Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lemutuz fikra itakusumbua sana.Habari za majukumu wadau,naomba kuliza hivi ni kweli kuna dawa ya kuongeza uume dunian?
Halafu ukirefusha uume wako wa le mutuz ndiyo uwakomoe mabinti zetu na limche lako we vipiiiiiiHabari za majukumu wadau,naomba kuliza hivi ni kweli kuna dawa ya kuongeza uume dunian?
Hii naitafuta hii.Zipo ndio njoo nikuuzie.
Habari za majukumu wadau,naomba kuliza hivi ni kweli kuna dawa ya kuongeza uume dunian?
Wee ni kibamia au kinukta?Habari za majukumu wadau,naomba kuliza hivi ni kweli kuna dawa ya kuongeza uume dunian?
Una hakika gani Yesu anarudiEndelea na endeleeni tu Kujidanganya kutaka kujifanya mnataka kushindana na Vipimo vyake Mwenyezi Mungu alivyompa kila Mwanaume aliyemuumba. Hizi juhudi zenu na hamu ya kila uchao tu kuja humu na Kuulizia jambo hilo hilo la mara sijui Ukubwa wa Uume au Nguvu za Kiume mngezihamishia katika Kuuliza ni wapi Fursa za Kiuchumi na Kiujasiriamali zinapatikana au tufanyeje ili Vijana tuondoke na Umasikini huu au tufanyeje ili tuiinue nchi yetu Kiuchumi bila shaka leo Tanzania ingekuwa inazitafuta Dubai, Singapore na Malaysia.
Watanzania tuna taabu sana / mno na tutaendelea kuwa hivi hivi hadi dunia ipinduke au mpaka Yesu Kristo wa Nazareth aje.