Wa kwangu aliugua juzi kati nikaandikiwa clavam bid 228.5 mg/5mls oral suspension ila nenda hospitalNinamtoto anasumbuliwa na ugonjwa wa TAIFOD NA U.T.I...,JE KUNA TIBA YADOZI MOJA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA YOTE KWA WAKATI MMOJA?
asante kkWa kwangu aliugaliugua juzi kati nikaandikiwanikaandikiwa clavam bid 228.5 mg/5mls oral suspension ila nenda hospital
Mtoto wako Asipo pona kwa dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kumtibia ili aweze kupona kwani hayo maradhi uliyoyataja yamekuwa ni Maradhi sugu yasiyoweza kutibika Ma-hospitali siku hizi aka (Chronic Disease) Nitafute kw awakati wako nimtibie mtoto wako apate kupona.Ninamtoto anasumbuliwa na ugonjwa wa TAIFOD NA U.T.I...,JE KUNA TIBA YADOZI MOJA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA YOTE KWA WAKATI MMOJA?
Mzizi mkavu, si kweli kwamba UTI na Malaria zimekuwa chronic na hazitibiki hospitali. Magonjwa haya yana dawa zake na yanatibika kama mgonjwa akifanyiwa uangalizi na kutumia dawa stahiki kwa mujibu wa miongozo ya afya.Mtoto wako Asipo pona kwa dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kumtibia ili aweze kupona kwani hayo maradhi uliyoyataja yamekuwa ni Maradhi sugu yasiyoweza kutibika Ma-hospitali siku hizi aka (Chronic Disease) Nitafute kw awakati wako nimtibie mtoto wako apate kupona.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu