Dawa ya kuzuia hisia za mapenzi

Dawa ya kuzuia hisia za mapenzi

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
931
Reaction score
612
Hamjambo wanajukwaa,

Kama tittle inavyojieleza,

Natafuta dawa ya kuzuia hisia za mapenzi yaani sitaki kushiriki tendo la ndoa katika maisha yangu yaliyobaki.

Je, kuna dawa yoyote naweza kutumia kufanikisha hazma hii? Lengo la kufanya hivi nikutokana na maoni yangu kuhusu mapenzi naamini kufanya mapenzi ni chanzo cha umasikini, majuto, mateso, udhalilishaji, utoaji wa mimba, magonjwa, uchafu, migogoro, stress n.k.

Naamini kwa kufanya hivi sitamuathiri mtu kwani sijaoa kama unaijua hiyo dawa nisaidie tafadhali.
 
Subiri wakuu wa bodi watakupa majibu sahihi kwa sasa niache nistaajabu na uzi huu
 
hamjambo wanajukwaa!kama tittle inavyojieleza natafuta dawa ya kuzuia hisia za mapenzi yaani sitaki kushiriki tendo la ndoa katika maisha yangu yaliyobaki.

je,kuna dawa yoyote naweza kutumia kufanikisha hazma hii?lengo lakufanya hivi nikutokana na maoni yangu kuhusu mapenzi naamini kufanya mapenzi ni chanzo cha umaskini,majuto,mateso,udharirishaji,utoaji wa mimba ovyo,magonjwa,uchafu,migogoro,stress n.k.
naamini kwa kufanya hivi sitamuathiri mtu kwani sijaoa.kama unaijua hiyo dawa nisaidie tafadhali.
Well ,,maisha nikuchagua na kupanga .
Kama umechagua ivo basi pangilia maisha yako yaweze kufaa mahitaji yako.

Jiepushe namazingira/watu wanaoweza kukushawishi.
Jiepushe na unywaji pombe .
Kula nahakikisha unafanya mazoezi (/ukila alafu ukakaa kimya bila mazoezi mafuta yanakua mengi ).
Alafu km unasoma Basi kua bize nashule yako nakama unafanya kazi.zako basi hakikisha unazifanya sana ,,ili unaporudi om uwe umechoka usipate muda Wa kufikiria sex.

Nyege haziuwi ..nyege hazikupunguzii kitu ,,nawala hamna faida ya kugegedana ikiwa unahisi hujatimiza malengo yako naukiwa unahisi endapo ukigegeda mambo yataenda mlama.

Nyege nihatar kama utaziendekeza .

All in all ,Mwombe Muumbaji Wa Mbigu akupe ujasiri Wa kulishinda ilo.
 
Ipo siku utajuta. Utatamani hizo hisia zikurudie lakini wapi. Pole sana mkuu! It seems there is something behind
 
sumu ya panya ova

sijasoma habari yako just heading
 
sijui hata nilitaka nikushauri nn, anyway afadhali na wazo lenyewe limepotea...
 
Fanya mazoezi sana uchoke afu kuwa na njaa uone kama utamuwaza demu
 
Back
Top Bottom