Dawa ya kuzuia kutapika kwa mjamzito

Dawa ya kuzuia kutapika kwa mjamzito

sir. Mwasongwe

Senior Member
Joined
May 30, 2015
Posts
106
Reaction score
75
Habari za mida hii wanajf.

Ninashida nahitaji msaada wa kitaalam. Dada yangu akipata ujauzito tuu miezi ya mwanzo anatapika sana na kuishiwa nguvu sana. Je kuna utaalamu au dawa yoyote ya kuzuia hali hii kutokea? Maana ni mfanyakazi.

Naombeni msaada katika hili

Natanguliza shukrani kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peleka mada yako jukwaa la jf Doctor kama unataka ushauri wa kitaalamu..
humu utaongezewa kichefuchefu
 
Mpeleke hospital usje ukachukua ushaur na kufanya mambo usiyo yajua

[emoji375][emoji375]
 
Nenda regency onana na dr. Joshua
Au nenda muhimbili muone dr. Kamugisha
 
Habari za mida hii wanajf.

Ninashida nahitaji msaada wa kitaalam. Dada yangu akipata ujauzito tuu miezi ya mwanzo anatapika sana na kuishiwa nguvu sana. Je kuna utaalamu au dawa yoyote ya kuzuia hali hii kutokea? Maana ni mfanyakazi.

Naombeni msaada katika hili

Natanguliza shukrani kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kitaalamu hii inaitwa Hyperemesis gravidarum nitatizo linalompa mjamzito katika miezi ya mwanzoni
dalili kuu kichefuchefu,kutapika sana,kupungua uzito, pia anaweza kupata Dehydration.Matibabu mpeleke hospital atatibiwa vizuri tu usije ukajaribu kutafuta dawa bila ya ushauri wa daktari Asante
 
Ahsante sana mkuu
Kitaalamu hii inaitwa Hyperemesis gravidarum nitatizo linalompa mjamzito katika miezi ya mwanzoni
dalili kuu kichefuchefu,kutapika sana,kupungua uzito, pia anaweza kupata Dehydration.Matibabu mpeleke hospital atatibiwa vizuri tu usije ukajaribu kutafuta dawa bila ya ushauri wa daktari Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo mm dawa ya kuzuua kutapika ni tangawizi na haina madhara kwa mjamzito mwambie awe anatafuna tangawizi mara kwa mara hasa anapoona dalili za kichefu chefu.. Anatafuna kipande kidogo anasukumizia na maj kiasi kama ukali wa tangawiz unamshinda...tangawizi kwa upande wang naona ni dawa nzuri mno kwenye mambo ya kichefuchefu
 
Atumie tangawizi kama alivyoshauriwa hapo juu.
Au atafite dawa, vidonge vinaitwa NOSIC.

Ila kama ni anaishiwa nguvu kabisa, au na dalili nyingine msizozielewa elewa basi aanzie hospitali kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom