sir. Mwasongwe
Senior Member
- May 30, 2015
- 106
- 75
Habari za mida hii wanajf.
Ninashida nahitaji msaada wa kitaalam. Dada yangu akipata ujauzito tuu miezi ya mwanzo anatapika sana na kuishiwa nguvu sana. Je kuna utaalamu au dawa yoyote ya kuzuia hali hii kutokea? Maana ni mfanyakazi.
Naombeni msaada katika hili
Natanguliza shukrani kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninashida nahitaji msaada wa kitaalam. Dada yangu akipata ujauzito tuu miezi ya mwanzo anatapika sana na kuishiwa nguvu sana. Je kuna utaalamu au dawa yoyote ya kuzuia hali hii kutokea? Maana ni mfanyakazi.
Naombeni msaada katika hili
Natanguliza shukrani kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app