bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mtu kashaezekaNenda kawaone Nabaki Afrika. wanazo mbao zilizokuwa treated kwa uhakika.
Wanazo pia dawa za kuua hao wadudu.Mtu kashaezeka
Shukran nitafika hapoWanazo pia dawa za kuua hao wadudu.
Dawa ya kutreat mbao ni gharama sana.Yani wale unaosikia wakigegeda mbao, ni mdudu yuko ndani, anakula hadi akifika kwenye kutoboa ndo anatoka, ndo mana akishatoka shimo linakua empty.
Mantiki ya dawa ya mbao ilikua ni mbao ilale kwenye dawa, iingie hadi ndani iue wale lavas, but wahuni wanachovya wanatoa.
Bei yake siyo poa.Kwani zile mbao zinazouzwa treated dawa wanayotumia ni ipi?? Nadhani ukiipata hiyo inaweza kumaliza tatizo,
Kwahiyo kipi kifanyike?? Tukwepe gharama kisha mbao zioze tupate hasara ya kununua mara 2 ama tupambane tununue mbao zenye dawa??Bei yake siyo poa.