Dawa ya maajabu ya kupendwa na wanawake milele, ha haaa

Vipi na dawa ya kuwapenda chichiem milele ni ipi..?
kuongoza awamu 5 si mchezo..!
 
Pesa ikiisha na milele nayo inaisha?
 
Wanawake wanaodanyika kwa pesa ni wengi ukilinganisha na wachache ambao mapenzi yao ni ya kweli na pesa hawaithamini kama wanavyothamini penzi lao.
 
Kuna jamaa alikua anakula papuch sana kisa! Alivaa shanga moja kiunoni,basi akila demu na demu akiona ile shanga anakwenda wahadithia wenzie,na wenzie wanajitongozesha ili wakaone shanga,basi alikula sana papuch na kukonga nyoyo.
 
Kama umezoea kuwadate wale wa uwanja wa fisi, basi fikra zako ni sahihi.

Kiuhalisia mapenzi ni zaidi ya pesa, yanatanguliwa na hisia.Pesa ni muhimu kwenye mahusiano lakini sii lazima iwe kitovu cha mahusiano.

Hujawahi kuona mke wa tajiri anachepuka na viserengeti vya mitaani visivyokuwa na chochote?
 
Mie huwa nampenda mwanamme kama alivyo hata asiponipa pesa! Mahaba yake, figure yake, lugha yake, utundu wake, kujali kwake hata kama sio pesa, anavyo respond na mengineyo mengi. Mie NAPENDA KUPENDWA
 
Mie huwa nampenda mwanamme kama alivyo hata asiponipa pesa! Mahaba yake, figure yake, lugha yake, utundu wake, kujali kwake hata kama sio pesa, anavyo respond na mengineyo mengi. Mie NAPENDA KUPENDWA
Jaribu kwangu sifa zote ninazo
Na ziada usizozijua
 
Unajua kuogelea hata kama hakuna bahari?
Unajua kufurahi hata kama ni sehemu ya kucheka
Chikira usijaribu kupenda mahali pa fundi viraka utabaki usiondoke
jamani uwiiiii MBAFU SANGU mieeeeeee hahahahahahahah daduuuuuu
 
Pesa...

Mwaaaaaahhh..!!
Niliposoma tu heading nikasema kimoyomoyo,huyu jamaa akisema dawa nyingine tofauti na pesa namtukana.Bahati yako umelenga mlemle,ningekula ban hivi hivi.
 
mie siamini kama ni pesa labda wanawake zenu wa kuokota ndo wako hivyo
We mpaka Magu anasema kuna watu wanaishi kama malaika,sasa atakata mirija yao ya fedha ili waishi kama mashetani.Pesa sabuni ya roho bhana,ona mzee Mengi anavyokula vinono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…