Dawa ya madhara yatokanayo na mwanaume kumwingilia mwanamke akiwa kwenye siku zake

kwani unaona dalili gani sababu hakuna madhara makubwa
 
Mmehamia huku eeh baada ya Serikali kuwapiga marufuku!
 
Na kwa nini mtu ukatafute tatizo hilo huko, kukiwa hivyo? Kinyaa hakuna au ugwadu umezidi kipimo.......ovyo kabisa!
kama hujui kaa kimya acha kuropoka jukwaani.unatia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…