Mmh vituko
Kwa bahati mbaya mafua hayana tiba .
vitunguu kama vitunguu? mmh mbona ngumu sana aiseeKula vitunguu vingiiiii
vitunguu kama vitunguu? mmh mbona ngumu sana aisee
Asante babu mpenzi. nikate vingi au kidogo tu?Hapo chagua moja.... vitunguu au mafua.
Kama vipi katakata vitunguu, weka kwenye kisosi pembeni ya kitanda. Lala.
Asubuhi usiponiambia ahsante babu yangu mpenzi ntajua huna shukrani.
Asante babu mpenzi. nikate vingi au kidogo tu?
Kimoja kinatosha. (Inategemea na ukubwa wa pua yako LOL)