Za vidonge na ya kupaka nimeisahau jina lakehatuwez kukwambia dawa bila kujua zote ulizotumia n zp
Umejaribu sonaderm pia!!?Wakuu habari za majukumu, binafsi ninasumbuliwa sana na mba kwa miaka mingi ni mba wa kichwani unashuka hadi usoni. Nimeshatumia dawa za pharmacy zinanisaidia kwa muda mfupi then unarudi tena.
Kwa ambae anajua mafuta/dawa itakayoweza kuutibu naomba anisaidie.
Asanteni.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Shukran mkuuUmejaribu sonaderm pia!!?
Ile tube ile,HEBU kaulize mkuu!!
Kwann ni ugonjwa wa kizamani?Sory mkuu na pole sana ila binafsi naona huo ni ugonjwa wa kizamani[emoji15][emoji15]
Tatizo la dawa za mba inaweza ikatibu kwangu kwako isikutibu.
Haya hapa yanaponyeshachukua mafuta yanaitwa virgin hair fertilizer
Shukran mkuuTatizo la dawa za mba inaweza ikatibu kwangu kwako isikutibu.
Nenda pharmacy iliyopo karibu nawe waambie unahitaji mafuta ya mba yapo kwenye kikopo cha kijani hayo mafuta yanatengenezwa South Africa Bei yake haizidi 10,000/- nadhani ni 6,000/- labda yawe yamepanda, sikumbuki jina ni km mafuta ya mgando hivi kikopo chake ni km cha Baby Care Ila chenyewe ni cha kijani ukiwaeleza pharmacy km nilivyokueleza wanayajua
Unapaka pia unamix na mafuta fulani hivi ya Tube hio ndio dawa ndani ya wiki 3/4 mba umeisha
Mafuta ya tube haya hapa kawaonyeshe pharmacy watakupa yanaitwa VIRGIN HAIR FERTILIZER View attachment 2739623
Shukran mkuuChukua kitunguu maji kikubwa 1, tangawizi moja, kiazi ulaya(vile vya chipsi) kimoja kikate nusu.
Tumia vile vidude vya kukwangulia karoti, kwangua kitunguu, tangawizi na kiazi, changanya kwa pamoja then tafuta kitambaa kisafi ikiwezekana nunua zile leso nyeupe za miatano, chuja mchanganyiko wako kwa kitambaa safi upate majimaji yake.paka huu mchanganyiko kwenye ngozi ya kichwa na nywele then funika kichwa chako kwa kofia ya plastiki kwa dk 45.
Baada ya hapo osha nywele zako vizuri kwa kutumia shampoo(shampoo zipo Hadi za 2000 nenda dukani tu utachagua).ukimaliza kuosha Sasa nywele ikikauka chukua mafuta yanaitwa virgin hair fertilizer ( Kama uchumi hauruhusu nunua tu mengine yanaitwa sulphur ya kampuni ya movit ni 1500) paka kwenye ngozi ya kichwa, zingatia upake kwenye ngozi.Fanya hii routine ya kitunguu atleast Mara moja kila wiki tatizo la mba utalisahau kabisa.
Dada una mkono mzuri mashaallah in (shekh Kipoozeo voice)Haya hapa yanaponyeshaView attachment 2739656
Kijana punguza Nyege mkono wa wifi yako huo utapakwa Parachute shauri yakoDada una mkono mzuri mashaallah
Mkuu unanishambulia bure mm nimecoments kutokana na uhalisia wa pichaKijana punguza Nyege mkono wa wifi yako huo utapakwa Parachute shauri yako
Asante kiongoziNunua mafuta ya kondoo yachemshe na dawa moja ya kimasai inaitwa loduwaa,baada ya hapo kunywa kikombe kimoja cha mafuta,hio inatibu kila kitu, utakuja kunishukuru,na ukinywa ukaona labda matokeo ni negative basi ujue mwili wako una maradhi mengi yaan zaid ya hilo
It was a compliment to my part..we are all good guys[emoji4]Mkuu unanishambulia bure mm nimecoments kutokana na uhalisia wa picha