Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Tatizo lako unalala peke yako ndo maana unasikia mbu, najaribu kuimajini kama ungekuwa na shemeji ungetuletea uzi matata.Kama kichwa cha habari kijielezavyo naombeni msaada wa dawa ya mbu kuna mtaa nimeingia kama wiki mbili zilizopita hapa Tanga yaani natamani kutoa damu kwa hiari niwape kuliko hiki nachofanyiwa na hawa wadudu.
Nipo nje natafakari namna ya kulala, Msaada tafadhali.
NB: Chandarua hakuna
Naomba basi ya nguvu za kiumeMkuu dawa ya mbu pia mpaka uulize jamii forum hapana.
Leo nitalala nao mbeleKuna dawa unachomeka kwnye socket inakaa masaa 400 na zaid ....4500 tu.. Mbu hasogei ndani itafute ama nunua ile ya kuchoma y vipakti nayo nzur san mbu,mende n.k wote wanakufa
Njoo uchukuwe niko nayo hapa kwaminchi gofu. onyo litakalo kukuta usinilaumu..Na dawa yambu pia ninayo wewe upo tanga namimi nipo tanga usi sumbuke dawa yako ipo.Naomba basi ya nguvu za kiume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Naomba basi ya nguvu za kiume