Dawa ya meno Whitedent ichunguzwe

Mswaki unatumia miezi 3 sasa kwa nini usitoke Vidonda...tujichunguze majumbani mwetu MadirisHa Makubwa...vumbi chini ya Vitanda na Makapeti

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mimi nimeacha kutumia White Dent karibu mwaka sasa,nikitumia kinywa kinatokea aina fulani ya ngozi nyeupe kama nilieungua na chai,i use colgate i think is the best toothpaste ninaitumia na sipati matatizo yoyote.
 
Poleni sana. hata mimi ilishawahi kunitokea. ila nikaamua kufanya utafiti mdogo na mkubwa pia. Utafiti mdogo ni kuwa katika boksi la WD na Dawa nyingi za meno zimeandikwa Onyo "USIMEZE" na watoto chini ya miaka 6 watumie chini ya uangalizi wa mzazi na watumie just a pie.. yani watumie kiasi kidogo. nikajiuliza kwa nini wanatuambia tusimeze? nikagundua uonapo onyo kama hilo maana yake ni SUMU na wameweka hivyo makusudi tusiwashitaki na hata kama tukishitaki watatushinda kwa sababu wameweka ONYO
 
utafiti mkubwa: Niliamua kufanya utafiti katika ingredients za dawa tunazotumia na nikakuta FLOURIDE. Matumizi endelevu ya flouride ndio chanzo cha haya madhara yote tunazozungumzia hapa. matumizi endelevu ya flouride mwilini ni sumu mwilini na kadri tunavyoendelea kutumia tunahatari ya kupata cancer baadae. nawe pia fanya utafiti hata ktk google type "the use of flouride in toothpaste" ujionee mwenyewe. leo tazama box la dawa unayotumia ukiona ina flouride achana nayo ni SUMU. use flouride free paste
 
Leo mwisho kutumia WD nimeshatibu fizi mara mbili sikujua nini tatizo nashukuru jf kwa kunifungua macho
 
Leo mwisho kutumia WD nimeshatibu fizi mara mbili sikujua nini tatizo nashukuru jf kwa kunifungua macho

Marire, sio WD pekee siku zote unapokwenda kununua dawa ya Meno tazama boksi lake soma maelekezo na kama ukikuta Warning ya USIMEZE achana nayo I recommend FOREVER BRIGHT TOOTHGEL hii hapa...tumia hii dawa na pia ni dawa ya tumbo kama linakusumbua unaweza meza, pia ni huduma ya kwanza nyumbani kama kuna mtu ameungua na maji ya moto unampaka...

 
Whitedent ni Takataka wakuu hii dawa ni mbaya sana nilishasimuliwa na mmoja wa watu waliowahi kufanya kazi hapo sometimes huwa wanatumia materials ambazo zime expire na hata dawa ambazo zime expire huwachanganywa na nyingine na dawa zao zote zipo chini ya viwango tatizo ni kuwa wamewaweka TBS mkononi
 
Jf members not only WD Also avoid oral sex for while,PREETA etc! for the time use mouth wash 1x2 5/7days nextweek come to MOPD clinic
 
Ni kweli hizi bidhaa za Whitedent/Colgate tunazotumia siyo nzuri sana. Hizi bidhaa zina Fluoride nyingi ambayo siyo nzuri katika miili yetu. Kwa kawaida Fluoride tuipatayo kwenye maji inatosha sana kwa afya. Hizi Whitedent zinashauriwa kutumika bila kumeza na isiwe mdomoni zaidi ya dk 1. Tujiulize ni wangapi tunazingatia/tunalifahamu hilo? Wakati mwingine mtoto anachukua anakula na baadaye kudai nyingine na bila ufahamu anaongezewa. Hii pia ina effect kubwa kwa watoto sbb huathiri IQ(Intelligence Quotient). Kwa ushauri tumia bidhaa nzuri isiyo na Fluoride na yenye kuondoa matatizo mengi ya kinywa na mengineyo ambayo ni mengi zaidi. Kwa maelezo zaidi waweza kuniandikia. healthwealthfirst@gmail.com
 

ummmm, inabidi ulipie hili tangazo!
 
aisee kumbe ni kweli!!!me niliiacha whitedent mwaka sasa nilikua napata ganzi na fizi kupata vidonda imeisha na mswaki siku zote nanunua kwa makini sana.toka niache meno na fizi zimerudi hali yakeivi si ni kiwanda cha mengi ama wakenya?
 
Mara nyingi huwa naogopa sana vitu vya bei rahisi. Imagine WD 250g bei ni 2000tshs (variable) na Colgate 100g bei ni ths 2500 (variable). Kwa vyovyote vile ubora lazima utofautiane sana tu!!!!

Kwa kweli nilishaacha kupima ubora wa kitu kwa bei yake kuna sababu nyingi sana za bidhaa kuwa na bei tofauti hata

kama na ubora unachangia mimi ninaamini kwa kiasi kidogo sana kulingana na tafiti zangu kadhaa nilizofanya baada ya

kuwa ninanunua vitu vya bei ya juu ni kiamini ni bora lakini siyo kweli.

Tatizo bidhaa zetu nyingi zinafojiwa kwa urahisi na bila shaka whitedent nyingi zinazouzwa ni feki tofauti na halisi hivyo

kupata madhara ni dhahiri tunapaswa kuwa makini sana na vitu tunavyotumia na kufanya utafiti kabla ya kununua kwa

mfano mm kuna vitu siku zote nitanunua sehemu moja tu kwa sababu ninapaamini na nimeshajiridhisha bidhaa zao siyo

feki..
 
Colgate ndo dawa ya meno pendekezo nambari moja la madaktari wa meno Duniani...... haina mpinzani kote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…