
Hafidh Masokola mwenye umri wa miaka 47, mkaazi wa Tabora amedai kuwa alitumia dawa aina ya Metakelfin miaka minne iliyopita kwa lengo la kutibu ugonjwa wa malaria, lakini dawa hizo zilimsababishia madhara makubwa katika ngozi yake na kumpelekea kuwa albino.
Akiongea na Sun Rise ya 100.5 Times Fm, Hafidh ambaye ni mjasiriamali ameeleza kuwa alinunua dawa hizo Pharmacy na kwamba baada ya kumsababishia madhara hayo ameamua kujiunga na chama cha maalbino Tanzania kwa kuwa anafanana na albino wengine.
Ameeleza kuwa katika hatua za awali za dalili mbaya ya ngozi yake, alimuona daktari wa ngozi wa mkoa wa Tabora na alipewa ushauri ambao hata hivyo baada ya kuufanyika kazi hali iliendelea kuwa mbaya.
Ikabidi nikamuone daktari wa ngozi wa mkoa wa Tabora, anaitwa Dr. George. Nikaenda nikamuonesha zile dalili, akaniambia hii itakuwa tube za hydrocotzone baadae itapotea hiyo, basi mimi nikatumia zile tube za hydrocotzone, lakini ikawa hainisaidii kitu. Matokeo yake yale malengelenge yakaamia kwenye mguu, juu ya unyayo lakini yalikuwa hayana dalili zozote za muwasho
. Ameeleza.
Nikaanza utaratibu wa kupakaa mafuta ya Vaseline muda kama wa wiki mbili hivi, lakini kikawa naona kama nikipakaa kwenye viganja
lakini hayaoneshi kama mafuta unapakaa, yanazama moja kwa moja kwenye ngozi. Ukipakaa kama dakika moja hivi ukipakaa unaona kama hujapakaa
Hafidhi ameiambia Sun Rise ya 100.5 Times Fm.
Habari kwa hisani ya website ya Times fm.
Please let's remember the following:
Albinism is a genetic condition caused by a genetic mutation. One inherits the genes from both parents
persons with albinism are born with the genes that causes albinism.
The mutation in the tyrosinase genes would have taken place before one is born with albinism.
One is born without pigmentation (melanin) in the skin, hair and / or eyes. This is vivid from birth.
One cannot and will never acquire albinism. There is no such a thing as acquired albinism.
What this person might have is known as Vitiligo.
A person with such a medical condition was born with melanin in their skin and hair, but over a number of years (before their 21st birthday) the melanocytes gradually die due to the malfunctioning of the immune system.
ALBINISM
VITILIGO
SIMILARITIES
Complete or partial lack of melanin in the skin, hair and / or eyes
Cancer can develop due to sun exposure
Lack of melanin in the skin and / or sometimes in the hair
Cancer can develop due to sun exposure
DIFFERENCES
Genetic condition / Inherited - from birth. Inheritance of a recessive gene alleles.
Small presence of melanin which DO NOT function properly.
Visual challenges such as Low vision, decreased visual acuity, photophopia, nystagmus, astigmatism
Covers the whole body from birth
Is not a disease; therefore can neither be cured nor camouflaged
Acquired condition -after birth changes begin before the age of 21 yrs.
Melanocystes die slowly due to malfunctioning of the immune system
No visual challenges as a result of vitiligo
Starts as patches and could spread throughout the body.
Pigment loss can be camouflaged with makeup. Re-pigmentation is possible with Light Therapy and Vitiligo Organics.
I just though I should share this with you guys!