Dawa Ya Miti Shamba Ya Fangasi Ukeni

Dawa Ya Miti Shamba Ya Fangasi Ukeni

Mti wa Chuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2015
Posts
331
Reaction score
99
Fangasi ni ugonjwa unaowasumbua wanawake wengi duniani. Asilimia kubwa wanatibu lakini ugonjwa hurudi mara kwa mara. Fangasi kiasili aina ya Candida Alibican huishi ukeni bila kusababisha madhara ukeni. Fangasi zina mbegu ambazo zikiota kwa wingi kwenye kuta za uke huanza kuzaliana, kukua na kuongezeka. Hapo huanza kusababisha magonjwa yafuatayo:
-Vaginal condidiasis
-Vulvo vaginal candidiasis
-Gental candidiasis

Dalili za fangasi.
Moja ya dalili kubwa ya fanasi ni;
i)Muwasho ukeni
ii)Kutoka uchafu wenye rangi nyeupe
iii)Kuvimba uke
iv)Maumivu wakati wa kufanya mapenzi

Sababu zinazo sababisha fangasi Ukeni.
i)Ujauzito -Kutoka na mabadiliko ya mwili
ii)Wanaotumia madawa ambazo hupunguza kinga ya mwili
iii)Hedhi -Kutokujisfisha vizuri
Kama unasumbuliwa wasiliana nami PM upate dawa.
 
Hivi uke huwa unavimba??? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Natamani nione
 
bora uwaletee dawa nlipuliza katoto kadogo tu kana miaka 19 kesho yake nliwashwa pumb# kama nimeweka upupu
 
Back
Top Bottom