Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 997
- 1,348
Nimejikuta nacheka tuuuMKEO AKIANZA JEURI, MPANDISHE CHEO AWE MKE MKUBWA 🤣🤣🤣🤣🤣
duhMKEO AKIANZA JEURI, MPANDISHE CHEO AWE MKE MKUBWA 🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23] [emoji23]MKEO AKIANZA JEURI, MPANDISHE CHEO AWE MKE MKUBWA 🤣🤣🤣🤣🤣
NA MUME AKIWA MKOROFI MSHUSHE CHEO AWE MUME BWEGE!MKEO AKIANZA JEURI, MPANDISHE CHEO AWE MKE MKUBWA 🤣🤣🤣🤣🤣
Soma vizuri ulichoandikaujiandae kula kila aina ya uchafu
kuwa na wake wawili ujipange si pesa.
kuna mzee anao watatu na hatombewi wote wanaelewana kila mwanamke kwao anaona kama kituo cha polisi wao na mume wao tu
Usijali hilo, we mpandishe cheo, akizidisha muongeze cheo kingine....Mkuu, unaweza ukampandisha cheo halafu sasa ndio akawa jeuri zaidi na kutumia 'Cheo' chake vibaya!
Umeliwaza hilo??